
Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Meja Edward Flowin Gowele (kushoto) akisalimiana na Katibu wa CCM Mkoa wa Mara, Ibrahim Mjanaheri wakati alipokwenda kujitambulisha rasmi katika ofisi za chama hicho tawala mjini Musoma, mapema leo Septemba 11, 2024.
Sehemu ya miundombinu ya mnada wa mifugo Magena ambao haujafunguliwa kwa miaka kadhaa sasa Na Mwandishi Wetu, Tarime ------------- Licha ya ...
No comments:
Post a Comment