
Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Meja Edward Flowin Gowele (kushoto) akisalimiana na Katibu wa CCM Mkoa wa Mara, Ibrahim Mjanaheri wakati alipokwenda kujitambulisha rasmi katika ofisi za chama hicho tawala mjini Musoma, mapema leo Septemba 11, 2024.
Mkurugenzi wa Serengeti Safari Marathon, Timothy Mdinka, akimakbidhi Mwakilishi wa Mara Online, Judith Juma, ‘kits’ za washiriki wa mbio hiz...
No comments:
Post a Comment