
Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Meja Edward Flowin Gowele (kushoto) akisalimiana na Katibu wa CCM Mkoa wa Mara, Ibrahim Mjanaheri wakati alipokwenda kujitambulisha rasmi katika ofisi za chama hicho tawala mjini Musoma, mapema leo Septemba 11, 2024.
Mzee Cleopa David Msuya enzi za uhai Na Mwandishi Wetu Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amelitangazia taifa kifo cha Mzee Cleopa David Msuya, a...
No comments:
Post a Comment