
Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Meja Edward Flowin Gowele (kushoto) akisalimiana na Katibu wa CCM Mkoa wa Mara, Ibrahim Mjanaheri wakati alipokwenda kujitambulisha rasmi katika ofisi za chama hicho tawala mjini Musoma, mapema leo Septemba 11, 2024.
MNEC Christopher Gachuma (katikati), Mbunge Mary Daniel Surati (kulia) na wadau wengine wakifurahia picha ya pamoja baada ya Sekondari ya Ma...
No comments:
Post a Comment