NEWS

Tuesday 15 October 2019

SIMBA SC YALIPA KISASI HUKO KIGOMA




 Mchezo wa kirafiki Simba SC Dhidi ya Mashujaa umetamatika kwa Simba SC kuibuka kidedea kwa goli   1-0.

Baopekee la Simba SC lilifungwa kupitia kwa Sharaf Shiboub mnamo  dakika ya 56 kipindi cha pili

Simba imecheza mechi yake yakirafiki ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea mechi zijazo za Lligi kuu Vodacom Tanzania Bara msimu huu.

Mtanange huo ulichezwa jana katika uwanja wa Lake Tanganyika Kigoma.


No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages