NEWS

Tuesday 14 January 2020

CHUI AJERUHI WATU SITA SERENGETI



Na Mwandishi wetu,
Chui ambaye alikuwa amejificha katika mashamba ameshambulia na kujeruhi watu sita katika kijiji cha Bisarara , Kata ya Sedeco Wilayani Serengeti Mkoani Mara leo asubuhi.
Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Nurdin Babu amesema hakuna mtu aliyepoteza maisha katika shambulio hilo la chui.
“ Huyu chui alianza kusumbua tangu saa kumi na mbili asubuhi hadi saa nane mchana alipouawa." Babu ameiambia Mara Online News kwa njia ya simu leo jioni.

1 comment:

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages