KADA wa CCM, Kanali mstaafu
wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Kichonge Mahende Masero, leo Ijumaa Julai
17, 2020 amejitokeza kuchukua na kurejesha fomu ya kuwania ubunge wa Tarime
Mjini kwa kutumia usafiri wa mkokoteni huku akisindikizwa na pikipiki kadhaa.#Mara
Online News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

Hopeless huyu mzee mtapely wa dsm
ReplyDeletehahah kanali atawezana kweli
ReplyDelete