Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Alhamisi Agosti 20, 2020 imemteua Mwita Waitara kupeperusha bendera ya chama hicho katika kinyang’anyiro cha Ubunge wa Jimbo la Tarime Vijijini mkoani Mara katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 28, mwaka huu.#MaraOnlineNews
Post Top Ad
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a comment