NEWS

Thursday, 19 December 2024

Basi la Kisire lapata ajali Magu, baadhi ya abiria wahofiwa kufa




Na Mwandishi Wetu/ Mara Online News

Watu kadhaa wanahofiwa kufa na wengine kujeruhiwa vibaya katika ajali ya basi la Kisire Luxury Coach linalofanya safari kati ya jijini Mwanza na Tarime - Sirari mkoani Mara, iliyotokea jirani na daraja la Magu, Mwanza muda mfupi uliopita leo Desemba 19, 2024.

Mara Online News imewasiliana na Kamanda wa Polisi wa Mkoa (RPC) wa Mwanza, DCP Wilbrod Mutafungwa akasema yuko njiani kuelekea eneo la tukio. “Nakaribia eneo la tukio, nikifika nitakupa taarifa,” amesema kwa simu dakika chache zilizopita.
Read Also Section Example

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages