NEWS

Sunday, 15 December 2024


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (kulia), Dkt Philip Mpango akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda wakati alipowasili mkoani humo leo Desemba 15, 2024 ambako anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mkutano wa Mwaka wa Viongozi wa TAKUKURU utakaofanyika kesho.
Read Also Section Example

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages