NEWS

Tuesday, 15 April 2025

Basi la Coast Line lapinduka mjini Tarime, ladaiwa kuua mwenda kwa miguu



Basi la Coast Line linalofanya safari kati ya Tarime mkoani Mara na Arusha, lilipinduka mjini Tarime jana Jumatatu saa mbili usiku, ambapo linadaiwa kuua mwenda kwa miguu. Mara Online News inaendelea na juhudi za kumpata Kamanda wa Polisi Mkoa wa Polisi Tarime Rorya kwa ajili ya kuzungumzia ajali hiyo.
Read Also Section Example

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages