NEWS

Monday, 7 July 2025

NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha sita 2025



Dar es Salaam
Baraza la Mitihani la Taifa Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Sita kwa mwaka 2025, ambao ulifanyika mwezi Mei 2025.

Matokeo hayo yalitangazwa siku ya Jumatatu, Julai 7, 2025, huko Zanzibar na Katibu Mtendaji wa Necta, Profesa Said Mohamed.
Read Also Section Example

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages