
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, akipiga picha ya 'selfie' na maelfu ya wananchi wa Kibaigwa mkoani Dodoma wakati wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu, leo August 30, 2025.
Kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Mara kilichofanyika mjini Musoma jana na kuikataa bajeti ya barabara ya Hifadhi ya Taifa Serengeti Na Mwa...
No comments:
Post a Comment