
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, akipiga picha ya 'selfie' na maelfu ya wananchi wa Kibaigwa mkoani Dodoma wakati wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu, leo August 30, 2025.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime, Matera Newland Chacha, akizungumza katika moja ya hafla za makabidhiano ya miradi mipya ya CS...
No comments:
Post a Comment