
Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Angelina Marco Lubela (aliyevaa kitambaa cha njano kichwani), akiwa kwenye mstari kuelekea kupiga kura wilayani humo katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaofanyika lnchini eo Jumatano, Oktoba 29, 2025.
Jumanne Abdallah Sagini (aliyevaa miwani) akiwa kwenye hafla ya futari aliyowaandaliwa Waislamu na Wakristo wilayani Butiama jana. Na Mwandi...
No comments:
Post a Comment