
Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Angelina Marco Lubela (aliyevaa kitambaa cha njano kichwani), akiwa kwenye mstari kuelekea kupiga kura wilayani humo katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaofanyika lnchini eo Jumatano, Oktoba 29, 2025.
Dkt. Rhimo Nyansaho (kulia) akikabidhi ofisi kwa Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakurugenzi wa TANESCO, Plasduce Mbossa. Na Mwandishi Wetu Dar e...
No comments:
Post a Comment