
Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Angelina Marco Lubela (aliyevaa kitambaa cha njano kichwani), akiwa kwenye mstari kuelekea kupiga kura wilayani humo katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaofanyika lnchini eo Jumatano, Oktoba 29, 2025.
Makamu Mwenyekiti mpya wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI, Jafari Wambura Chege. Na Mwandishi Wetu Uamuzi wa Wabunge wa Bunge la Jamhu...
No comments:
Post a Comment