
Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Angelina Marco Lubela (aliyevaa kitambaa cha njano kichwani), akiwa kwenye mstari kuelekea kupiga kura wilayani humo katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaofanyika lnchini eo Jumatano, Oktoba 29, 2025.
Simba ndani ya NCAA Na Mwandishi Wetu Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA) mkoani Arusha imesema simba 10 wameuawa katika eneo la...
No comments:
Post a Comment