
Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Angelina Marco Lubela (aliyevaa kitambaa cha njano kichwani), akiwa kwenye mstari kuelekea kupiga kura wilayani humo katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaofanyika lnchini eo Jumatano, Oktoba 29, 2025.
Mbunge wa Jimbo la Tarime Vijijini, Mwita Waitara (katikati), akiwa kwenye pikipiki na baadhi ya vijana waliopata mikopo ya asilimia 10 kati...
No comments:
Post a Comment