
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Amos Makalla (katikati), jana Novemba 6, 2025 alifanya ziara katika eneo la Namanga lililopo mpakani na nchi ya Kenya, ambapo pamoja na mambo mengine, alisisitiza amani na ustawi wa biashara.
Mbunge wa Jimbo la Tarime Vijijini, Mwita Waitara (katikati), akiwa kwenye pikipiki na baadhi ya vijana waliopata mikopo ya asilimia 10 kati...
No comments:
Post a Comment