
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Amos Makalla (katikati), jana Novemba 6, 2025 alifanya ziara katika eneo la Namanga lililopo mpakani na nchi ya Kenya, ambapo pamoja na mambo mengine, alisisitiza amani na ustawi wa biashara.
Mchimbaji mdogo wa madini, Jackson Ngasa Ndakama, akizungumza jana mjini Musoma katika mafunzo maalum kwa wachimbaji wadogo wa madini wa mko...
No comments:
Post a Comment