NEWS

Saturday, 10 January 2026

NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha pili na darasa la nne 2025



NECTA imetangaza rasmi matokeo ya Upimaji wa Kitaifa wa Kidato cha Pili (Form Two National Assessment – FTNA 2025) pamoja na matokeo ya Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne (Standard Four National Assessment – SFNA 2025).

Matokeo hayo yametangazwa rasmi leo tarehe 10 Januari 2026 na Katibu Mtendaji wa NECTA, Profesa Said A. Mohamed, katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Dar es Salaam.
Read Also Section Example
Read Also Section Example

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages