
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akipanda mti wa muembe aina ya mangifera indica katika eneo la Bungi Kilimo, mkoani Kusini Unguja, ikiwa ni sehemu ya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa - leo Januari 27, 2026.
Zanzibar
----------------
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Januari 27, 2026 amesherehekea siku yake ya kuzaliwa (birthday) kwa kupanda miti katika eneo la Bungi Kilimo, mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar.

“Shukrani kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu na mwingi wa rehema kwa kunijalia kuifikia siku nyingine ya kumbukizi ya kuzaliwa na umri wa miaka 66. Kwa moyo wa dhati, nimepokea na ninawashukuru nyote kwa salamu zenu za upendo.

Rais Samia akikata keki kusherehekea kumbukizi ya 'birthday' yake leo


No comments:
Post a Comment