
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Rhimo Nyansaho (katikati), akikagua miradi ya Jeshi, Makao Makuu jijini Dodoma jana.
Dodoma
--------------
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Rhimo Nyansaho, jana Januari 20, 2026 alifanya ziara ya kikazi ya kutembelea na kuona maendeleo ya miradi ya ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa, Kikombona na Hospitali Kuu ya Kanda ya Jeshi yenye hadhi ya "Ngazi 4" Msalato jijini Dodoma.








Picha ya pamoja

No comments:
Post a Comment