Afisa Uhusiano wa Mfuko wa Taifa wa Bima wa Afya (NHIF), Theresia Mallya leo Februari 20,
2026 ametembelea ofisi za Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Mara(MRPC) na kufanya
mazunguzo na Mwenyekiti wa klabu hiyo Jacob Mugini .
Mallya amesema waandishi wa habari ni wadau muhimu wa NHIF na kueleza umuhimu wa
kuendelea kushirikiana kuhamisha suala la huduma ya afya kwa wote pamoja na mambo
mengine
2026 ametembelea ofisi za Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Mara(MRPC) na kufanya
mazunguzo na Mwenyekiti wa klabu hiyo Jacob Mugini .
Mallya amesema waandishi wa habari ni wadau muhimu wa NHIF na kueleza umuhimu wa
kuendelea kushirikiana kuhamisha suala la huduma ya afya kwa wote pamoja na mambo
mengine
Kwa upande wake, Mugini amemuahidi Mallaya ushirikiano mzuri kwa lengo a kujenga taifa
lenye watu weye afya bora .
“Sisi kama Mara Press Club tutaendelea kushirikiana na kuwa sehemu ya kufanikisha
mipango ya NHIF na serikali”, Mugoni amesema.

Picha : Afisa Uhusiano wa Mfuko wa Taifa wa Bima wa Afya (NHIF), Theresia Mallya
akimkabidhi zawadi Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Mara , Jacob
Mugini mapema leo
lenye watu weye afya bora .
“Sisi kama Mara Press Club tutaendelea kushirikiana na kuwa sehemu ya kufanikisha
mipango ya NHIF na serikali”, Mugoni amesema.

Picha : Afisa Uhusiano wa Mfuko wa Taifa wa Bima wa Afya (NHIF), Theresia Mallya
akimkabidhi zawadi Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Mara , Jacob
Mugini mapema leo

No comments:
Post a Comment