
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara, Patrick Chandi Marwa, jana Jumatano Februari 4, 2026 alikuwa Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Miaka 49 ya Kuzaliwa kwa CCM, yaliyoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM)) Mara, na Mugumu wilayani Serengeti.

Matembezi

Mwenyekiti Chandi akipokewa na vijana wa VCCM

Wakisalimiana




Mwenyekiti Chandi akiongoza shughuli ya usafi wa mazingira

Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Serengeti, Mrobanda Japan, akizungumza katika kikao maalum.

Mwenyekiti Chandi akishiki kukata keki wakati wa maadhimisho hayo
No comments:
Post a Comment