
CP Alex Mkama
Na Mwandishi Wetu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amempandisha cheo Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Alex Mkama aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa (RPC) wa Morogoro kuwa Kamishna wa Polisi (CP) na kumteua kuwa Kamishna wa Polisi Jamii.
Taarifa kwa umma iliyotolewa jana na Jeshi la Polisi Makao Makuu Dodoma, ilieleza kuwa katika mabadiliko hayo, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Andrew Kamtimbo ambaye alikuwa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa (RCO) wa Mbeya amteteuliwa kuwa RPC wa Morogoro,
No comments:
Post a Comment