
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiwamiminia uji wanafunzi wa Assalaf Islamic Seminary kutoka Ummu Aisha Orphanage Centre, walioshiriki futari aliyowaandalia pamoja na makundi mengine ya jamii, Ikulu Ndogo ya Arusha, Machi 1, 2026.

No comments:
Post a Comment