
John Heche
Na Mwandishi Wetu
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche, leo Machi 31, 2026 anatarajiwa kuongoza wananchi katika mazishi ya aliyekuwa mwanachama wa chama hicho, marehemu Selemani Bungara maarufu kama Bwege.
Kwa mujibu wa taarifa ya CHADEMA kwa umma iliyosainiwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi, Mrenda Rupia, Bwege ambaye alijiunga rasmi na chama hicho mwaka huu, anatarajiwa kuzikwa katika jimbo lake la Kilwa Kusini, mkoani Lindi.
No comments:
Post a Comment