NEWS

Saturday, 7 March 2026

Msanii chipukizi wa muziki wa Bongo Fleva atembelea ofisi za Mara Online


Afisa Mtendaji Mkuu wa Mara Online News, Jacob Mugini (kushoto), akikabidhi nakala ya Gazeti la Sauti ya Mara kwa msanii chipukizi wa muziki wa Bongo Fleva, Edwin Mangi Range "Ceceskid", alipotembelea ofisi hizo mjini Tarime, Machi 6, 2026. (Picha na Mara Online News)

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages