NEWS

Thursday, 2 April 2026

Rais Samia afanya mazungumzo na waliogombea urais 2025


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan (katikati mbele), katika picha ya pamoja na wagombea wa nafasi ya urais na wagombea wenza kutoka vyama vya siasa 16 vilivyoshiriki Uchaguzi Mkuu uliofanyika nchini Oktoba 2025. Mazungumzo ya Rais Samia na wagombea hao yalifanyika Ikulu jijini Dar es Salaam, Machi 31, 2026.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages