NEWS

Sunday, 17 May 2026

Prof. Muhongo, Dkt. Mahera katika mazungumzo ndani ya eneo la Bunge jijini Dodoma



Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo (kulia) na Mbunge wa Jimbo la Butiama, Dkt. Charles Mahera, wakiteta jambo ndani ya eneo la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages