
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akimkabidhi Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Rhimo Simeon Nyansaho, Kombe la Ubingwa wa Jumla wa Michezo ya Mei Mosi, katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi, 2026), yaliyofanyika kitaifa mkoani Njombe, leo Mei 1, 2026.
No comments:
Post a Comment