NEWS

Friday, 1 May 2026

Rais Samia awasili Njombe kuongoza maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi 2026


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan na msafara wake akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Iringa kabla ya kwenda kuongoza maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, yanayofanyika kitaifa mkoani Njombe, leo Mei 1, 2026.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages