
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan na msafara wake akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Iringa kabla ya kwenda kuongoza maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, yanayofanyika kitaifa mkoani Njombe, leo Mei 1, 2026.
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Rhimo Simeon Nyansaho (aliyevaa miwani na kaunda suti), leo Juni 18, 2026 amepokewa na Mkuu...
No comments:
Post a Comment