NEWS

Wednesday, 3 June 2026

Ummy Mwalimu ateuliwa kuwa Mshauri wa Rais masuala ya afya



Ummy Ally Mwalimu

Na Mwandishi Wetu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemteua Ummy Ally Mwalimu kuwa mshauri wa Rais wa masuala ya Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto.

Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka, jana Juni 2, 2026 ilithibitisha uteuzi huo wa Ummy ambaye amewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Tanga na Waziri wa Afya kwa miaka kadhaa.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages