
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan akifuraha picha ya pamoja na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Seminari ya Kaengesa mkoani Rukwa, alipoitembelea shule hiyo na kuzungumza nao leo Julai 17, 2024.

Rais Dkt Samia Suluhu Hassan (wa nne kulia mbele), Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Makongoro Nyerere (wa tatu kulia) na viongozi mbalimbali wa Shule ya Sekondari ya Seminari ya Kaengesa, wakiwa katika picha ya pamoja shueni hapo leo Julai 17, 2024. (Picha zote na Ikulu)
UNAWEZA PIA KUSOMA:
- 1.Rais Ruto afanya uteuzi Mawaziri wapya 11 .
- 2.Rais Paul Kagame kuiongoza Rwanda kwa miaka saba tena baada ya kushinda uchaguzi kwa kishindo. .
- 3. Musoma Vijijini wanavyopiga hatua ujenzi shule za sekondari za kata .
- 4.Sababu za Halmashauri ya Serengeti kupata hati ya ukaguzi yenye mashaka .
- 5.Mwanahabari kumlipa fidia Waziri Mkuu wa Italia baada ya kufanya mzaha juu ya kimo chake .
- 6. HAIPPA PLC inavyoshagihisha uwekezaji Tanzania .
No comments:
Post a Comment