
Karibu Mara, Kazi Iendelee. Ndivyo Mkuu wa Mkoa (RC) wa Mara, Kanali Evans Mtambi (kulia pichani juu) anavyoonekana kumwambia Mkuu mpya wa Wilaya (DC) ya Serengeti, Kemirembe Lwota alipofika ofisini kwa Mkuu huyo wa Mkoa kwa mara ya kwanza mjini Musoma leo Agosti 4, 2024.
No comments:
Post a Comment