
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara, Patrick Chandi Marwa akisaini katika kitabu cha wageni alipotembelea ofisi ya CCM Wilaya ya Tarime leo Septemba 26, 2024. Kushoto ni Katibu wa Chama wa Wilaya hiyo, Noverty Kibaji.
![]() |
| (Picha zote na Mara Online News) |
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi (aliyevaa suti), akikagua Mgodi wa Dhahabu wa Kinyambwiga wilayani Bunda jana. Na Mwandishi Wetu B...
No comments:
Post a Comment