
Boniface Jacob “Bon Yai”
Na Mwandishi Wetu/ Mara Online News
Jeshi la Polisi limesema limemkamata na kumshikilia mkazi wa Mbezi kwa Msakuzi jijini Dar es Salaam, Boniface Jacob maarufu kwa jina la “Bon Yai” kutokana na tuhuma za makosa mbalimbali ya jinai.
“Hivyo, wananchi wapuuze uongo unaosambazwa mitandaoni kuwa ametekwa,” Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, DCP David Misime alisema jana Septemba 18, 2024 kupitia taarifa yake kwa umma.
Boniface Jacob amewahi kuwa Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo jijini Dar es Salaam.
UNAWEZA PIA KUSOMA:
>>Iranian hackers allegedly shared Trump campaign data with Biden associates, FBI reports
>>Mwenyekiti Halmashauri ya Serengeti atembelea ofisi za Gazeti la Sauti ya Mara
>>Nyambari apokea kundi la wafanyabiashara maarufu kutoka India, wafanya ziara Zanzibar
>>CSR Mgodi wa Barrick Bulyanhulu yawagusa watu wenye ulemavu Msalala
No comments:
Post a Comment