
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali Jacob John Mkunda akisaini kitabu cha maombolezo kabla ya kuagwa kwa mwili wa Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali David Bugozi Musuguri katika viwanja vya Hospital Kuu Lugalo jijini Dar es Salaam leo Novemba 1, 2024.

Rais Awamu ya Nne Tanzania Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo kabla ya kuagwa kwa mwili wa Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali David Bugozi Musuguri katika hospitali kuu ya Jeshi Lugalo jijini Dar es Samaal leo Novemba 1, 2024.

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Mstaafu Abdulrahman Kinana akisaini kitabu cha maombolezo kabla ya kuagwa kwa mwili wa Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali David Bugozi Musuguri katika viwanja vya Hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo jijini Dar es Salaam leo Novemba 1, 2024.

Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi akisaini kitabu cha maombolezo kabla ya kuagwa kwa mwili wa Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali David Bugozi Musuguri katika viwanja vya Hospital Kuu ya Jeshi Lugalo jijini Dar es Salaam leo Novemba 1, 2024.

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria na Mbunge wa Jimbo la Butiama, Jumanne Sagini akisaini kitabu cha maombolezo kabla ya kuagwa kwa mwili wa Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali David Bugozi Musuguri katika viwanja vya Hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo jijini Dar es Salaam leo Novemba 1, 2024.
UNAWEZA PIA KUSOMA:
>>Profesa Kithure Kindiki aapishwa rasmi kuwa Naibu Rais mpya wa Kenya, amshukuru Rais Ruto, amuahidi utiifu
>>Gachagua apata pigo tena, jaribio lake la kuzuia kuapishwa kwa Kindiki kuwa Naibu Rais wa Kenya lagonga mwamba
>>NECTA yatangaza matokeo ya darasa la saba 2024
>>Uchaguzi wa Marekani 2024:zifahamu sera za Donald Trump na Kamala Harris kuelekea uchaguzi mkuu
No comments:
Post a Comment