NEWS

Tuesday, 31 December 2024

Mama Maria Nyerere asheherekea miaka 94 ya kuzaliwa kwake



Na Mwandishi Wetu 

Rais Samia Suluhu Hassan akimkumbatia Mama Maria Nyerere, mjane wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kwa kutimiza miaka 94  tangu kuzaliwa kwake katika hafla fupi iliyofanyika leo Desemba 31, 2024, nyumbani kwa mama huyo huko Msasani, Dar es Salaam.
Read Also Section Example

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages