NEWS

Saturday, 7 December 2024

Naibu Waziri Mkuu Biteko, Rais Mstaafu Kikwete washiriki UDSM Marathon



Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt Doto Biteko (wa nne kutoka kulia), Rais Mstaafu na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Dkt Jakaya Kikwete (wa nne kutoka kushoto) na Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Prof William Anangisye (wa tatu kutoka kushoto), miongoni mwa wengine leo Desemba 7, 2024 wameshiriki UDSM Marathon jijini Dar es Salaam, iliyoandaliwa kwa ajili ya kuboresha mazingira ya wanafunzi chuoni hapo.

Read Also Section Example

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages