NEWS

Tuesday, 21 January 2025

Uchaguzi CHADEMA: Lissu amng'oa Mbowe madarakani, Heche awa Makamu Mwenyekiti



Tundu Antipas Lissu na 
Freeman Aikael Mbowe

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

Tundu Antipas Lissu ametangazwa kuwa Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Taifa baada ya kuvuna kura 513, na kumshinda Freeman Aikael Mbowe aliyepata kura 482 katika uchaguzi uliofanyika usiku wa kuamkia leo Jumatano.

Naye John Heche ameshinda nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara baada ya kupata kura 577 dhidi ya Ezekia Wenje (kura 372).

Matokeo hayo yametangazwa na mmoja wa wasimamizi wa uchaguzi huo wa kihistoria, Prof Raymond Mosha katika Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam muda mfupi uliopita leo Januari 22, 2025.
Read Also Section Example

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages