![]() |
| Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo akiwa katika picha ya pamoja Ikulu Ndogo ya Tabora na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Tabora, Kardinali Protase Rugambwa, na Askofu Mkuu Mstaafu wa jimbo hilo, Paul Ruzoka, ambao walimwombea mgombea huyo wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi. |
Friday, 12 September 2025
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment