CEO wa Mara Online na Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Sauti ya Mara, Jacob Mugini (kushoto) akikabidhi sehemu ya mchango wake wa kuunga juhudi za Jeshi la Polisi katika kuboresha Kituo cha Polisi Tarime kwa Mkuu wa kituo hicho, ASP Ahmed Feruzi jana Septemba 5, 2024.
ASP Feruzi na baadhi ya askari wa kituo hicho wakipokea mchango huo katika ofisi za Mara Online.
UNAWEZA PIA KUSOMA:
>> Mwenyekiti wa CCM Mara: Wananchi jitokezeni kwa wingi kushiriki uboreshaji Daftari la Wapiga Kura
>>Mapambano dhidi ya ukatili kwa watoto: Shirila la WiLDAF lawajengea walimu uwezo
>>RC Mara azindua ulipaji fidia kwa wananchi wanaohamishwa Nyatwali
>>HABARI PICHA:Wafanyakazi wa Tanzania Commercial Bank watembelea ofisi za Gazeti la Sauti ya Mara
>>Shooting at Georgia high school leaves at least 4 dead
No comments:
Post a Comment