
Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Sauti ya Mara, Jacob Mugini (kushoto) akimkabidhi Dkt Edward Machage nakala ya gazeti hilo alipomtembelea ofisini kwake leo.
-----------------------------------
Mdau wa maendeleo, Dkt Edward Machage, leo ametembelea ofisi za Gazeti la Sauti ya Mara na kupata fursa ya kuzungumza na wahariri wa gazeti hilo, Jacob Mugini na Christopher Gamaina.
Katika mazungumzo hayo, Dkt Machage amelipongeza gazeti hilo kwa kazi nzuri ya kuhabarisha jamii kuhusu miradi ya maendeleo ya kisekta inayotekelezwa na serikali katika mkoa wa Mara.
Pia, mdau huyo wa maendeleo ameahidi kuwa na ushirikiano wa karibu na chombo hicho cha habari kwa manufaa ya jamii nzima.

UNAWEZA PIA KUSOMA:
>>Mama Samia Legal Aid yafikisha msaada wa kisheria bila malipo kwa wananchi mkoani Mara
>>Dkt Machage atembelea ofisi za Gazeti la Sauti ya Mara, alipongeza kwa kazi nzuri
>>TAMISEMI yatangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2025
>>Rorya:Diwani ajitolea kuwalipa mshahara wenyeviti wa vitongoji 26 katani Rabuor, ni GSN Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya
No comments:
Post a Comment