Watu 67 wamekufa nchini Marekani baada ya ndege ya American Airlines kugongana na helikopta ya kijeshi usiku wa Jumatano eneo la Washington D.C.
Taarifa ya Shirika la Habari la CNN imeeleza kuwa ndege ya American Airlines ilikuwa na abiria 64 wakati helikopta ya kijeshi ilikuwa na wanajeshi watatu.
Taarifa imeeleza ndege ya American Airlines ilikuwa ikitoka Wachita, jimbo la Kansas, ilipogongana na helikopta ya Kijeshi.
Rais Donald Trump amethibitisha kuwa hakuna mtu yeyote aliyepona katika ajali hiyo mbaya ya anga.
Taarifa ya Shirika la Habari la CNN imeeleza kuwa ndege ya American Airlines ilikuwa na abiria 64 wakati helikopta ya kijeshi ilikuwa na wanajeshi watatu.
Taarifa imeeleza ndege ya American Airlines ilikuwa ikitoka Wachita, jimbo la Kansas, ilipogongana na helikopta ya Kijeshi.
Rais Donald Trump amethibitisha kuwa hakuna mtu yeyote aliyepona katika ajali hiyo mbaya ya anga.
UNAWEZA PIA KUSOMA:
>>Mkutano Mkuu WAMACU wapitisha ununuzi kiwanda cha chai, RC awapongeza kwa kuitangaza kahawa ya Tarime
>>HAIPPA PLC yazindua semina ya uwekezaji kwa waandishi wa habari Mara
>>Wasira kuanza ziara ya kukagua maendeleo ya CCM mkoani Mara leo
>>Barrick yazidi kung’ara mgodi wa North Mara ukitwaa tuzo kwa ulipaji bora wa kodi
No comments:
Post a Comment