
Na Joseph Maunya, Tarime
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa (Bara), John Heche (pichani katikati) amewaalika wananchi kuhudhuria sherehe yake ya kujipongeza na kushukuru kwa ushindi wa nafasi hiyo.
Akizungumza jana Jumatano baada ya kuwasili na kupokewa na wananchi katika mji wa Tarime mkoani Mara, Heche alisema ng’ombe 20 watachinjwa katika sherehe hiyo itakayofanyika kijijini kwake Kitagasembe.
Kabla ya kufikaTarime kiongozi huyo wa CHADEMA alifanya mikutano mingine ya hadhara katika maeneo ya Lamadi, mkoani Simiyu na Bunda mkoani Mara.
UNAWEZA PIA KUSOMA:
>>Kata za Mwema, Susuni, Bumera zafikiwa na msaada wa vitabu vya sekondari kutoka Nyambari Nyangwine Foundation
>>Sekondari ya Nyamongo na nyingine 4 zapokea msaada wa vitabu kutoka Taasisi ya Nyambari Nyangwine
>>Mwanafunzi wa sekondari afa kwa kugongwa na basi la Kisire Tarime
>>Hali za MNEC Gachuma, DC Kemirembe zaimarika, waruhusiwa hospitalini Bugando
No comments:
Post a Comment