
CEO na Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Suti ya Mara na Mara Online News, Jacob Mugini (kushoto), akimkabidhi Katibu mpya wa CCM Wilaya ya Tarime, Hamza Keibanja, nakala ya Sauti ya Mara, gazeti maarufu na kipenzi cha wasomaji linalochapisha habari na makala za maendeleo ya kisekta, hususan zinazohusu uhifadhi, utalii, madini, maji, barabara na kilimo. Tukio hilo ni la leo Machi 20, 2025 wakati Mugini alipotembelea ofisi hiyo ya chama tawala.

UNAWEZA PIA KUSOMA:
»Kazi na Utu: Urithi wa JPM na mustakabali wa taifa letu
»Namibia yamuapisha Rais wake wa kwanza mwanamke, Rais Samia ampongeza
»MAKALA MAALUMU:Nyambari Nyangwine awa lulu mkoani Mara, aombwa kujitokeza kuomba ubunge wakati ukifika
»Taasisi ya Mwanzo Mpya yafuturisha Waislamu msikiti wa Masjid Sunni Tarime
No comments:
Post a Comment