![]() |
Hamis Mkaruka |
Na Mwandishi Wetu
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Hamis Mkaruka amehamishiwa wilaya ya Tarime mkoani Mara alikowahi kuhudumu kwa miaka kadhaa kabla ya kuhamishiwa Butiama.
Akizungumza na Mara Online News kwa njia ya simu jana Jumanne, Mkaruka alithibitisha taarifa hiyo na kwamba anatarajia kuripoti wilayani Tarime mwanzoni mwa wiki ijayo.
"Ni kweli ninarudi Tarime na nitaripoti Jumatatu ijayo," Mkaruka alisema.
UNAWEZA PIA KUSOMA:
»MAKALA YA UCHAMBUZI:Nyambari Nyangwine ameonesha moyo wa kujitolea na upendo mkubwa katika ujenzi wa makanisa Tarime
»Wananchi Serengeti wafurahia kuanza kwa ujenzi wa uwanja wa ndege
»Dar es Salaam: Mamia ya waombolezaji wamuaga Prof Sarungi
»Shule tatu Serengeti zakabidhiwa msaada wa madawati 150 kutoka Grumeti Reserves