
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira (aliyeshika mfuko wa shati), jana Machi 27, 2025 aliwasili na kuhutubia mkutano wa hadhara katika viwanja vya Stendi mjini Kahama, akiwa katika ziara yake ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025, uhai wa Chama na kutatua changamoto za wananchi mkoani Shinyanga.
UNAWEZA PIA KUSOMA:
»Nyambari Nyangwine achangia shilingi milioni 6 harambee za makanisa mengine mawili Tarime Vijijini
»Mgodi wa Barrick North Mara waanza kukabidhi madawati ya CRS Tarime Vijijini, DC Gowele ataka kasi ya utengenezaji
»Twende na “No Election, No Reform”, tuachane na “No Reform, No Election”
»Rais Samia atoa milioni 100/- kusaidia waathirika wa maafa ya mvua Musoma Mjini
No comments:
Post a Comment