
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mara, Mary Daniel Joseph (kushoto) na Tausi Hassan wa Idara ya Vijana ya Shirika la UNFPA jijini Dar es Salaam wakifurahia picha ya pamoja baada ya kufanya mazungumzo maalum leo Machi 27, 2025.
----------------------------------------
Na Mwandishi Wetu
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Mara, Mary Daniel Joseph, leo Machi 27, 2025, ametembelea ofisi za Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu (UNFPA) zilizopo jijini Dar es Salaam, ambapo amekutana na kufanya mazungumzo maalum na Tausi Hassan wa Idara ya Vijana ya shirika hilo.
Katika mazungumzo hayo, Mary ameeleza changamoto mbalimbali zinazowakabili vijana wa Mkoa wa Mara, sambamba na kuomba ushirikiano na Idara ya Vijana ya UNFPA ili kuwainua vijana wa mkoa huo na kuwawezesha kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla.
UNAWEZA PIA KUSOMA:
»Nyambari Nyangwine achangia shilingi milioni 6 harambee za makanisa mengine mawili Tarime Vijijini MPYA
»Mgodi wa Barrick North Mara waanza kukabidhi madawati ya CRS Tarime Vijijini, DC Gowele ataka kasi ya utengenezaji
»Twende na “No Election, No Reform”, tuachane na “No Reform, No Election”
»Mfanyabiashara na Mjumbe wa Mkutano Mkuu CCM aripotiwa kutoweka katika mazingira ya kutatanisha
No comments:
Post a Comment