
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi (katikati), akizungumza na wananchi wa mjini Mbinga leo Jumamosi alipokuwa njiani kuelekea wilaya ya Nyasa, ikiwa ni siku ya nne ya ziara yake ya siku tano mkoani Ruvuma.
Mkuu wa Kitengo cha Afrika ya Kati na Mashariki cha Ujerumani, Joachim Schmitt, akizindua zahanati mpya katika kijiji na kata ya Enguserosam...
No comments:
Post a Comment