
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi (katikati), akizungumza na wananchi wa mjini Mbinga leo Jumamosi alipokuwa njiani kuelekea wilaya ya Nyasa, ikiwa ni siku ya nne ya ziara yake ya siku tano mkoani Ruvuma.
Dkt. Samia Suluhu Hassan akila kiapo cha kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - mbele ya Jaji Mkuu Ibrahim Hamis Juma. Na Mwandishi ...
No comments:
Post a Comment