
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi (katikati), akizungumza na wananchi wa mjini Mbinga leo Jumamosi alipokuwa njiani kuelekea wilaya ya Nyasa, ikiwa ni siku ya nne ya ziara yake ya siku tano mkoani Ruvuma.
Katibu Mkuu wa CCM, Dkt Emmanuel Nchimbi akipunga mkono kusalimia wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Mara mjini Musoma jana Aprili 23...
No comments:
Post a Comment