
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi (katikati), akizungumza na wananchi wa mjini Mbinga leo Jumamosi alipokuwa njiani kuelekea wilaya ya Nyasa, ikiwa ni siku ya nne ya ziara yake ya siku tano mkoani Ruvuma.
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akisogeza kitambaa kuashiria uzinduzi wa Daraja la JP Magufuli “Kigongo–Busisi” lenye urefu wa kilomita tatu p...
No comments:
Post a Comment