
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi (katikati), akizungumza na wananchi wa mjini Mbinga leo Jumamosi alipokuwa njiani kuelekea wilaya ya Nyasa, ikiwa ni siku ya nne ya ziara yake ya siku tano mkoani Ruvuma.
Viongozi mbalimbali walioteuliwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan hivi karibuni wakila kiapo Ikulu, Chamwino, jijini Dodoma jana. Na Mwandis...
No comments:
Post a Comment