
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi (katikati), akizungumza na wananchi wa mjini Mbinga leo Jumamosi alipokuwa njiani kuelekea wilaya ya Nyasa, ikiwa ni siku ya nne ya ziara yake ya siku tano mkoani Ruvuma.
F-15 Marekani imemuokoa rubani wa pili aliyepotea ndani ya Iran baada ya ndege ya kivita aina ya F-15 ya nchi hiyo kudunguliwa Ijumaa iliyop...
No comments:
Post a Comment