
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi (katikati), akizungumza na wananchi wa mjini Mbinga leo Jumamosi alipokuwa njiani kuelekea wilaya ya Nyasa, ikiwa ni siku ya nne ya ziara yake ya siku tano mkoani Ruvuma.
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba (aliyevaa skafu) baada ya kukata utepe kuashiria uzinduzi wa Shule ya Msingi Kasoma, Musoma Vijijini leo. W...
No comments:
Post a Comment