
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi (katikati), akizungumza na wananchi wa mjini Mbinga leo Jumamosi alipokuwa njiani kuelekea wilaya ya Nyasa, ikiwa ni siku ya nne ya ziara yake ya siku tano mkoani Ruvuma.
Mwenyekiti wa MRPC, Mugini Jacob, akifungua Mkutano Mkuu Maalum wa klabu hiyo kwenye Hoteli ya Goldland mjini Tarime, Mara jana Septemba 16,...
No comments:
Post a Comment