NEWS

Saturday, 5 April 2025

Katibu Mkuu CCM Balozi Nchimbi azungumza na wananchi mjini Mbinga akielekea Nyasa


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi (katikati), akizungumza na wananchi wa mjini Mbinga leo Jumamosi alipokuwa njiani kuelekea wilaya ya Nyasa, ikiwa ni siku ya nne ya ziara yake ya siku tano mkoani Ruvuma.
Read Also Section Example

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages