
Kutoka kushoto ni waandishi wa habari, Godfrey Marwa, Clonel Mwegendao na Agnes Alex kutoka Mara Online News na Gazeti la Sauti ya Mara, wakifuatilia jambo kwa furaha walipokuwa katika utekelezaji wa majukumu yao mjini Tarime hivi karibuni.
Mgeni rasmi, CPA Lucas Magoti, akikabidhi cheti kwa mmoja wa wahitimu wa kidato cha sita katika Shule ya Sekondari Magoto, wakati wa mahafal...
No comments:
Post a Comment