
Kutoka kushoto ni waandishi wa habari, Godfrey Marwa, Clonel Mwegendao na Agnes Alex kutoka Mara Online News na Gazeti la Sauti ya Mara, wakifuatilia jambo kwa furaha walipokuwa katika utekelezaji wa majukumu yao mjini Tarime hivi karibuni.
Mkuu wa Kitengo cha Afrika ya Kati na Mashariki cha Ujerumani, Joachim Schmitt, akizindua zahanati mpya katika kijiji na kata ya Enguserosam...
No comments:
Post a Comment