
Kutoka kushoto ni waandishi wa habari, Godfrey Marwa, Clonel Mwegendao na Agnes Alex kutoka Mara Online News na Gazeti la Sauti ya Mara, wakifuatilia jambo kwa furaha walipokuwa katika utekelezaji wa majukumu yao mjini Tarime hivi karibuni.
Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Meja Edward Gowele, akikabidhi cheti cha pongezi kwa mmoja wa wachezaji wa PMF Mara Qwan Ki Do International walio...
No comments:
Post a Comment