![]() |
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi (picha na Mara Online News) |
MKUU wa Mkoa (RC) wa Mara, Kanali Evans Mtambi (pichani), anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya Siku ya Urithi wa Dunia barani Afrika, yatakayofanyika mjini Mugumu leo Jumatatu, Hifadhi ya Taifa Serengeti ikiwa mwenyeji wa maadhimisho hayo.
UNAWEZA PIA KUSOMA:
»Mara: Hoteli ya kifahari ya CMG yazinduliwa kwa kishindo Tarime
»Waziri Mavunde azindua mradi wa uchimbaji madini kwa vijana Nyamongo
»Ajali yakatisha maisha ya Afisa Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Mji Tarime
»MAKALA:Ushirika wa WAMACU wamshukuru Rais Samia uzinduzi wa Benki ya Ushirika Tanzania
No comments:
Post a Comment